It is unfortunate Shaffih hamjamuelewa ni mwenzenu fika na anachangia nin kifanyike Yanga. Naamin na yeye anasikitika maana kwa kweli anaipenda Yanga mno,zirudieni comment zake ikihusu Yanga huyo ni simba kweli?
Wewe Shafiih acha kufuatlia mambo yasiyokuhusu!! Kutwa nzima Yanga, Yanga . . . . Yanga, Yanga!!! Huna habari zingine za michezo za kuandika? Ulianza kwa kudai Manji aanzishe timu yake kama Bharkresa!!! Ooh sijui Yanga inakufa!! Angalia usije ukafa wewe kabla ya Yanga!!! Huoni aibu kubishana na wazee kama hao?!!! Kuuutwa kuandika habari za Maximo kama vile wewe ndio msemaji wa Yanga!! Umezidi kuisakama Yanga . . . . . Kama unataka cheo Simba nenda kaombe hata ufagiaji ugange njaa yako, kuisakama Yanga hakutakusaidia, kamwambie Rage akupe usemaji Msaidizi wa Simba
Shaffii hv kw nn ww tu kila siku na yangaaaaa umepoteza sana iman ya watanzania kwa kuonesha unaz wako kwa simba dhahir na kutoa habar za kiupendeleo kinyume na maadili ya tasnia ya habar kaka bado shule inakuhitaji sana
Kaka Shaffi ngoja nianze kusma maneno ya huyu mzee yanaweza kuwa ya ukweli. Kwa nini nasema hivi? kwanza hata hapo kwenu ofisni watu wanakufahamu kuwa unapenda sana majungu na mambo ya uongo. Kumbuka hata ulipokuja Washington wakati hule Ngasa anafanya trials hapa ulituambia maneno mengi sana ya uongo...so anachosema mzee huyu kinaweza kuwa na ukweli sababu hata baadhi ya wahandishi walipiga makofi, wanakufahamu.
Kwa kutaka kukumbusha uongo mwingine it is just few weeks ago, ulipokuwa Germany, kwanza ukadanganya kuwa umefanya interviews na kocha wa timu ya taifa ya Ujerumani....hiyo interview gani bila picha au video clip...huo ulikuwa uongo mkubwa sana, wadanganye hao hao. Interview zako zote huwa unaweka picha or video clips just a reminder.
Ukadanganya kuwa baada ya Champions league kuwa unaenda Sweden na huko utashuhudia mechi ya Watanzania and then kuna habari za wachezaji wa Tanzania na maisha yao binafsi...hilo likawa kimya hadi wa leo. Once again, mimi nakufahamu sana, unapenda sana majungu,inawezakana hata huyo kocha uliwasiliana naye kama anavyosema huyo mzee.
bwana jonathan wa washngton mm ni mdau mkubwa wa sport extra na hiii blog unayoyasema mm ckubalian nayo we uko washngton umejuaje ya ofisin acha wivu na penye mafanikio apa kosi fitna na ye pia ni binadam kukosa kwenda sweden co kama ni uongo
shaff brother najua kunakitu watu usema 'kama ikatokea siku ukwel ukashinda bas uhuru wamambo ndio ungefata' brother mim ni mnaz mkubwa wa jangwn lakn mbona wazee wanajua san kulko sis vijan ndio maan tutaendelea kunyonywa na wanasiasa kwa sababu tunakubal mambo ya kipuzii mpira ban sio domo ni vitendo kwan maxmo ndio huyo wa juz alikua adui namb moja wa tz? Nyie wazee mpira wa sasa sio wa historia eti maxmo ni kocha .....bora alime kahawa kwao....BROTHER FANYA KAZ HABAR NYINGINE NDIO ZINAONGEZA NGUVU ZA KUFANYA KAZ.
hakuna kitu kibaya kama kupoteza muelekeo, ama hakika wazee wtu wanasikitisha sana. hivi shaffih dauda amekosa akili kiasi gani mpaka aandike vitu kama hivyo kwa maximo ilhali akijua kwamba vitajulikana? mbona mwenyewe maximo amesema kuna vitu bado hawajaafikiana na uongozi wa yanga? hivi hawa wazee wana umuhimu gani katika soka la bongo? mi nadhani wangebaki kuwa walinzi na kuuza kahawa tu na si vinginevyo. mbona hao wenyewe malegend wa kweli wa yanga hatuwaoni katika kuzungumzia upuuzi kama huo? ama hakika tuna safari ndefu sana kufikia mafanikio. bila kusafisha misukule kama hiyo tutaendelea kuchagua nchi za kushangilia kila mashindano makubwa yanapofika.
Umuhimu wanao na ndio maana hawana kufagilia umaarufu wa mtu kama unavuruga wao wanasema tu ukweli kwani shaffi yeye nani adi ashindwe kusema labda yeye mwenyewe aseme ukweli au adai basi hizo meseji ili watu wote tuone
How big is Shaffi Dauda to affect the arrival of Maximo?Pia swali lingine how stupid is Maximo to listen to a journalist? Sikilizeni nyie wanayanga na mzee wenu,please kama mmeamua to make up something baada ya kuona Maximo haji fanyeni basi cha kiutu uzima ili tuamini,sio visingizio vya kitoto hivi..
Kweli mwandishi wa habari(with all due respect) ana uwezo wa kuaffect ujio wa kocha katika nchi fulani?
Yaani mnataka kusema mtu kama Garry Richardson(presenter wa bbc radio 5 uingereza)au Kirsty-Gallacher(sky sports) wana uwezo wa kufanya Pep Gurdiola aende Chelsea au asiende? come oooon please!
Brother Shaffi please fanya kazi yako,critics are there to make you strong and prove your worth,wanaweka mzinga wa nyuki kwenye swimming pool sijui nyuki wataishije huko ndani ya maji,labda samaki wawape asali.
Hawa wazee wetu wanakotupeleka siko, hivi kweli hata kama Dauda kaongea na Maximo ambacho sio kitu kibaya maana ni mwandishi wa habari na ni kazi yake kutafuta habari na kutuletea sisi wasomaji wake ana influence gani hadi Maximo amusikilize yeye.
Viongozi wa Yanga wawe wakweli kama walifanya mazungumzo naye na wakafikia makubaliano haiwezekani eti amusikilize Dauda na kukatisha makubaliano hii inaonyesha wazi walikuwa hawajakubaliana naye na hizi ni kete zinachezwa ili watu wachukue uongozi baadaye wajilie mali za Yanga kiulaini, eti milioni 750 si waseme tu wazi kwamba Manji ndo aliyetoa hiyo hela na ndo wanayemtaka awaongoze na kama ameweza kutoa hela yote hiyo kwa nini ashindwe kumshawishi Maximo hadi azidiwe na huyu Dauda.
Waambieni wanachama wenu ukweli acheni visingizio visivyokuwa na maana mlisema anakuja j/nne baadaye jpili sasa hivi mnasema ni siri utadhani wachawi yaani ujio wa kocha iwe siri du kweli hii ndo nchi yetu na hivi vilabu vyetu, mashabiki na wapenzi wa Yanga walishajitolea kuacha shughuli zao na kwenda kumpokea kocha halafu nyie mnafanya siri sasa watajuaje kama mnafanya siri au mnataka iwe suprise.
Mdogo wangu najua huna dhiki ya kununuliwa na gongo wazi. Na huna uhusiano na hizo taarifa za kuwasiliana na maximo na umesema walete ushahidi ktk hili jambo wa emails ulizotuma. Mimi nasoma na kusikiliza habari za michezo za TZ zote nadhani kama kuna gazeti linalowasiliana na Maximo ni Dimba,Bingwa, Mtanzania , maana habari wanotoa kuhusu Maximo zinakuwa za ukweli na wanakiri kuwasiliana. mfano soma Bingwa ya jana .Allah akulinde Shaffih!
Shafii fanya kazi siasa za mpira wa bongo zickusumbue,maximo hawezi kuja yanga ana mkataba na democrata na yuko mbioni kuongeza mwingine habari ndio hiyo alionuna apasukeeeee!
Daa hii kali kweli.huu ndio mpira wa tanzania porojo nyingi utendaji sifuri.imefika wakati lazima watu waelewe uhuru wa vyombo vya habari katika kutupasha habari.always hakuna habari ambayo itamfurahisha kila mtu lazima wengine iwaudhi hasa kama inagusa eneo lao.
tumeshuhudia waandishi wakishambuliwa kisa wanasimama kwenye ukweli mfano jeri muro hadi kufikia kubambikiwa kesi.yanga huu sio wakati wa kulumbana na kushambulia waandishi ni wakati wa kujenga timu na kuchagua viongozi sahihi.
Mzee akilimali pamoja na heshima na hekima uliyonayo kutokana na uzee wako kuwa mwangalifu kwa kauli zako kwasababu ulimi uliponza kichwa.hata wewe si kila unalosema ukadhani unawafurahisha watu,mengine unawaudhi.mfano ni LOYD NCHUNGA usidhani uliyomfanyia amefurahia.
mwisho yanga mjipange msifanye kosa kwenye uchaguzi.watu wachahce wasiwachagulie viongozi.iheshimuni katiba mpate viongozi bora na sio bora viongozi.
Shaf huyo mzee anawakilisha group la watu ambao wanakurupuka hawafanyi uchunguzi wa kitu kabla.kuna msemo wa wenzetu unasema "ur not right to speak before investigation"ningemuona wa maana sana kama angeonyesha vielelezo siku hizi utandawazi atuonyeshe vielelezo hatutaki maneno.hizi njaa sitatupeleka pabaya.hawa wazee ndiyo chanzo cha migogoro ktk klabu kubwa.hata huyo manji wanamuona wa muhimu leo siku moja hao wazee wakinyimwa posho ya majungu watakuambia tunataka klabu yetu.kisingizio kwamba wao ni waanzilishi ifike wakati wakae pembeni zama zao zimepita waachie vijana.mzee anajivunjia heshima si wote wanaomueleza baadhi ya mambo ni wazuri kwake.shaff wewe ni mkweli na simama kwenye ukweli mungu atakulipa fanya kazi yako bila kunufaisha mtu.UKWELI UNAUMA ZIKU ZOTE.
Njaa ni mbaya sana, huyu mzee tangu wakati wa uongozi wa Madega amekuwa akitumiwa na baadhi ya watu ili kueneza maneno ya hovyo kwa nia ya kuondoa uongozi. Ktk uongozi wa Nchunga tumemuona na kusikia fitina zake hadi Nchunga akakimbia. Sasa anatumika tena kwa Shafii kueneza fitina. Watanzania, watu wa namna hii ni hatari sana maana wanaweza kusababisha chuki na madhara makubwa ktk jamii. Kwa wanaomtumia ningewashauri mzee huyu na wenzake watafutiwe shughuli za halali ili waingize kipato kinachoeleweka vinginevyo kwa tabia hii siku mmoja kutatokea madhara na sijui nani atayelaumiwa maana hata vyombo vya usalama wanaangalia bila hata kukemea hadi madhara yatokee.
mi naona hapa wote hatujui ukweli uko wapi wanamichezo....tusihukumu mtu kwa mambo tusiyoyaju....wote haya mambo tumeyasikia kwenye vyombo vya habari na tumesikiliza upande mmoja wa huyu mzee...ila jana SHAFII aliongea vizuri kwenye kipindi cha sports bar ya clouds fm....kwanza hakukataa tuhuma alichokisema kama kweli huyo mzee anajua anachokisema ni kweli alete vithibitisho kwamba shafii kafanya hivyo ndo muanzee kuhukumu.....!!!!mi siko upande wa mtu yeyote hapa ila usanii wa ma CLUB yetu unaniboa mnooooo......!!!!!JOTTISH
Shafii, ukiona kunamaneno yanasemwa juu yako: Fanya mambo yafuatayo, 1. Jiangalia kuna sehemu lazima umekosea, kwa sababu kwa mujibu wa kazi yako unatakiwa kuiwin jamii! 2. Kubali kuwa usivyotaka kuwa hiypo ndiyo alama ya USHINDI. 3. Jiweke wazi kuwa wewe ni mpenzi wa timu fulani hapa Bongo, najua hii ni ngumu kueleweka lakini kwa asili ya mpira wetu hapa Bongo hilo nmi tatizo, 4. Jikite zaidi zaidi katika uchambuzi na siyo habari za maslahi ya upande wowote!
sio akilimali ni akilimatope.huyu mzee mwehu nini?kaacha kuongea habari za maana za club ya yanga sasa anaanza kushambulia waabdishi wa habari.kama kazi hana kauze kahawa pumbaaaavu.
unatupotezea muda bure kukusikiliza pumba zako.i hate you akilimatope. mfyuuuuuuuuuuuuuuuu.
Mie kiukweli c fatilii soka la bongo lkn nackilizaga SE ya clouds shafii bro huwa anasema ukweli c o yanga simba wala Tff mada yyote anasema ukweli kwenye ukweli. ukweli unauma.amini ucamini huyo mzee katumwa wala huja kosea shafii
PIGA KAZI WW NI ICON KWA RAIA KIBAO BEHIND THE MIC
kwako mzee akili mali na wanafki wenzio wote tunaomba vithibitisho kwanza ndo muuanze kumuukum m2 pengine uyo mzee ata kwake tv hana habar anapewa na watu kwenye vijiwe vya kahawa alaf ghafla anaita wandish mm ushauri wang kwenu wote ni ivi HABAR ZA UZUSH NI SAWA NA UMEME WA TANESKO AUNA GURANTEE MDA WOWOTE UNAKATIKA SO KUENI MAKIN WANA YANGA(meaning mwisho wa ubaya ni aibu)
Ingekuwa vema mkatueleza Mzee Akilimali ni nani ndani ya Yanga. Na kama hana cheo chochote basi maneno yake ni upuuzi mtupu. Nashangaa sana kusikia na kuona Sekretarieti ya Yanga inamuachia huyu mzee anaropoka tu pasipo ushahid wowote, sidhani kama wanafahamu ya kwamba anaidhalilisha Yanga na wanachama wake.
Leo Jaji Mkwawa kaweka wazi ya kwamba huyu mzee akilimali ni mzushi tu mganga njaa.
Ukifutilia kwa makini unaona wengi wanamlaumu shafii kwa kuwa hawataki kukubali ukweli. Vilabu vyetu inabidi vibadilike. huwezi kufikilia kumuajiri kocha kwa gharama kubwa wakati hakuna vyanzo vinavyoeleweka vya mapato. Ila Mdogo wangu shafii labda anakosa utaalamu wa kuwasilisha hoja zake zikaonekana kuwa zipo katikati (Neutral) na labda na ule upande mwingine awe anakosoa. Vile vile kuna mijadala huwa ana conclude na kufanya prejudice nafikiri ingekuwa vyema awaachie wachangiaji watoe maoni yake.
Kazi ipo tena sana
ReplyDeleteIt is unfortunate Shaffih hamjamuelewa ni mwenzenu fika na anachangia nin kifanyike Yanga. Naamin na yeye anasikitika maana kwa kweli anaipenda Yanga mno,zirudieni comment zake ikihusu Yanga huyo ni simba kweli?
DeleteWewe Shafiih acha kufuatlia mambo yasiyokuhusu!! Kutwa nzima Yanga, Yanga . . . . Yanga, Yanga!!! Huna habari zingine za michezo za kuandika? Ulianza kwa kudai Manji aanzishe timu yake kama Bharkresa!!! Ooh sijui Yanga inakufa!! Angalia usije ukafa wewe kabla ya Yanga!!! Huoni aibu kubishana na wazee kama hao?!!! Kuuutwa kuandika habari za Maximo kama vile wewe ndio msemaji wa Yanga!! Umezidi kuisakama Yanga . . . . . Kama unataka cheo Simba nenda kaombe hata ufagiaji ugange njaa yako, kuisakama Yanga hakutakusaidia, kamwambie Rage akupe usemaji Msaidizi wa Simba
ReplyDeleteovyooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo
DeleteShaffii hv kw nn ww tu kila siku na yangaaaaa umepoteza sana iman ya watanzania kwa kuonesha unaz wako kwa simba dhahir na kutoa habar za kiupendeleo kinyume na maadili ya tasnia ya habar kaka bado shule inakuhitaji sana
ReplyDeleteiv we unaijua elimu yake 2lize sisi acha ushabik wewe maandaz
DeleteKaka shaffi mti wenye matunda unapigwa mawe wewe endelea na kazi yako habari nzuri tuletee maana kikiwa kizuri kwa mwingine kwako kibaya
ReplyDeleteimooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo papiiiiii oyeeeee umetisha kaka
DeleteKaka Shaffi ngoja nianze kusma maneno ya huyu mzee yanaweza kuwa ya ukweli. Kwa nini nasema hivi? kwanza hata hapo kwenu ofisni watu wanakufahamu kuwa unapenda sana majungu na mambo ya uongo. Kumbuka hata ulipokuja Washington wakati hule Ngasa anafanya trials hapa ulituambia maneno mengi sana ya uongo...so anachosema mzee huyu kinaweza kuwa na ukweli sababu hata baadhi ya wahandishi walipiga makofi, wanakufahamu.
ReplyDeleteKwa kutaka kukumbusha uongo mwingine it is just few weeks ago, ulipokuwa Germany, kwanza ukadanganya kuwa umefanya interviews na kocha wa timu ya taifa ya Ujerumani....hiyo interview gani bila picha au video clip...huo ulikuwa uongo mkubwa sana, wadanganye hao hao. Interview zako zote huwa unaweka picha or video clips just a reminder.
Ukadanganya kuwa baada ya Champions league kuwa unaenda Sweden na huko utashuhudia mechi ya Watanzania and then kuna habari za wachezaji wa Tanzania na maisha yao binafsi...hilo likawa kimya hadi wa leo. Once again, mimi nakufahamu sana, unapenda sana majungu,inawezakana hata huyo kocha uliwasiliana naye kama anavyosema huyo mzee.
Mwisho ukweli ni mzuri, masifa ya nini?
Jonathan,
Washington
bwana jonathan wa washngton mm ni mdau mkubwa wa sport extra na hiii blog unayoyasema mm ckubalian nayo we uko washngton umejuaje ya ofisin acha wivu na penye mafanikio apa kosi fitna na ye pia ni binadam kukosa kwenda sweden co kama ni uongo
Deleteshaff brother najua kunakitu watu usema 'kama ikatokea siku ukwel ukashinda bas uhuru wamambo ndio ungefata' brother mim ni mnaz mkubwa wa jangwn lakn mbona wazee wanajua san kulko sis vijan ndio maan tutaendelea kunyonywa na wanasiasa kwa sababu tunakubal mambo ya kipuzii mpira ban sio domo ni vitendo kwan maxmo ndio huyo wa juz alikua adui namb moja wa tz? Nyie wazee mpira wa sasa sio wa historia eti maxmo ni kocha .....bora alime kahawa kwao....BROTHER FANYA KAZ HABAR NYINGINE NDIO ZINAONGEZA NGUVU ZA KUFANYA KAZ.
ReplyDeletebora eddo kumwembe kuliko huyu anae-copy na kupaste ndio maana eddo kamkimbia kwenye number 10
ReplyDeleteizo fitnaaa ilooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo kakojoe ulaleeee
Deletekaka hiyo ndiyo tz, maneno lazima yawepo i know unavyoumia but ishallah, kweli soka la bongo dah!!!
ReplyDeletehakuna kitu kibaya kama kupoteza muelekeo, ama hakika wazee wtu wanasikitisha sana. hivi shaffih dauda amekosa akili kiasi gani mpaka aandike vitu kama hivyo kwa maximo ilhali akijua kwamba vitajulikana? mbona mwenyewe maximo amesema kuna vitu bado hawajaafikiana na uongozi wa yanga? hivi hawa wazee wana umuhimu gani katika soka la bongo? mi nadhani wangebaki kuwa walinzi na kuuza kahawa tu na si vinginevyo. mbona hao wenyewe malegend wa kweli wa yanga hatuwaoni katika kuzungumzia upuuzi kama huo? ama hakika tuna safari ndefu sana kufikia mafanikio. bila kusafisha misukule kama hiyo tutaendelea kuchagua nchi za kushangilia kila mashindano makubwa yanapofika.
ReplyDeleteUmuhimu wanao na ndio maana hawana kufagilia umaarufu wa mtu kama unavuruga wao wanasema tu ukweli kwani shaffi yeye nani adi ashindwe kusema labda yeye mwenyewe aseme ukweli au adai basi hizo meseji ili watu wote tuone
DeleteHuyo mzee Akilimal anashikwa masiko na w2 fulan hana lolote ananolijua! hana ushahidi na hayo anayoyasema!!!
ReplyDeleteHow big is Shaffi Dauda to affect the arrival of Maximo?Pia swali lingine how stupid is Maximo to listen to a journalist?
ReplyDeleteSikilizeni nyie wanayanga na mzee wenu,please kama mmeamua to make up something baada ya kuona Maximo haji fanyeni basi cha kiutu uzima ili tuamini,sio visingizio vya kitoto hivi..
Kweli mwandishi wa habari(with all due respect) ana uwezo wa kuaffect ujio wa kocha katika nchi fulani?
Yaani mnataka kusema mtu kama Garry Richardson(presenter wa bbc radio 5 uingereza)au Kirsty-Gallacher(sky sports) wana uwezo wa kufanya Pep Gurdiola aende Chelsea au asiende? come oooon please!
Brother Shaffi please fanya kazi yako,critics are there to make you strong and prove your worth,wanaweka mzinga wa nyuki kwenye swimming pool sijui nyuki wataishije huko ndani ya maji,labda samaki wawape asali.
Kazi njema kaka/uncle.
real talk bro..
Deletekale kazee kachawi nn!!
ReplyDeleteumekashtikiaa eeh
Deletevizee vingine bhna havijui chochote kaz kuropoka2!!!
ReplyDeleteHawa wazee wetu wanakotupeleka siko, hivi kweli hata kama Dauda kaongea na Maximo ambacho sio kitu kibaya maana ni mwandishi wa habari na ni kazi yake kutafuta habari na kutuletea sisi wasomaji wake ana influence gani hadi Maximo amusikilize yeye.
ReplyDeleteViongozi wa Yanga wawe wakweli kama walifanya mazungumzo naye na wakafikia makubaliano haiwezekani eti amusikilize Dauda na kukatisha makubaliano hii inaonyesha wazi walikuwa hawajakubaliana naye na hizi ni kete zinachezwa ili watu wachukue uongozi baadaye wajilie mali za Yanga kiulaini, eti milioni 750 si waseme tu wazi kwamba Manji ndo aliyetoa hiyo hela na ndo wanayemtaka awaongoze na kama ameweza kutoa hela yote hiyo kwa nini ashindwe kumshawishi Maximo hadi azidiwe na huyu Dauda.
Waambieni wanachama wenu ukweli acheni visingizio visivyokuwa na maana mlisema anakuja j/nne baadaye jpili sasa hivi mnasema ni siri utadhani wachawi yaani ujio wa kocha iwe siri du kweli hii ndo nchi yetu na hivi vilabu vyetu, mashabiki na wapenzi wa Yanga walishajitolea kuacha shughuli zao na kwenda kumpokea kocha halafu nyie mnafanya siri sasa watajuaje kama mnafanya siri au mnataka iwe suprise.
Mti wenye matunda ndo hupgwa mawe
ReplyDeleteMdogo wangu najua huna dhiki ya kununuliwa na gongo wazi. Na huna uhusiano na hizo taarifa za kuwasiliana na maximo na umesema walete ushahidi ktk hili jambo wa emails ulizotuma.
ReplyDeleteMimi nasoma na kusikiliza habari za michezo za TZ zote nadhani kama kuna gazeti linalowasiliana na Maximo ni Dimba,Bingwa, Mtanzania , maana habari wanotoa kuhusu Maximo zinakuwa za ukweli na wanakiri kuwasiliana. mfano soma Bingwa ya jana .Allah akulinde Shaffih!
Shafii fanya kazi siasa za mpira wa bongo zickusumbue,maximo hawezi kuja yanga ana mkataba na democrata na yuko mbioni kuongeza mwingine habari ndio hiyo alionuna apasukeeeee!
ReplyDeleteDaa hii kali kweli.huu ndio mpira wa tanzania porojo nyingi utendaji sifuri.imefika wakati lazima watu waelewe uhuru wa vyombo vya habari katika kutupasha habari.always hakuna habari ambayo itamfurahisha kila mtu lazima wengine iwaudhi hasa kama inagusa eneo lao.
ReplyDeletetumeshuhudia waandishi wakishambuliwa kisa wanasimama kwenye ukweli mfano jeri muro hadi kufikia kubambikiwa kesi.yanga huu sio wakati wa kulumbana na kushambulia waandishi ni wakati wa kujenga timu na kuchagua viongozi sahihi.
Mzee akilimali pamoja na heshima na hekima uliyonayo kutokana na uzee wako kuwa mwangalifu kwa kauli zako kwasababu ulimi uliponza kichwa.hata wewe si kila unalosema ukadhani unawafurahisha watu,mengine unawaudhi.mfano ni LOYD NCHUNGA usidhani uliyomfanyia amefurahia.
mwisho yanga mjipange msifanye kosa kwenye uchaguzi.watu wachahce wasiwachagulie viongozi.iheshimuni katiba mpate viongozi bora na sio bora viongozi.
nawasilisha
H.sato
Shaf huyo mzee anawakilisha group la watu ambao wanakurupuka hawafanyi uchunguzi wa kitu kabla.kuna msemo wa wenzetu unasema "ur not right to speak before investigation"ningemuona wa maana sana kama angeonyesha vielelezo siku hizi utandawazi atuonyeshe vielelezo hatutaki maneno.hizi njaa sitatupeleka pabaya.hawa wazee ndiyo chanzo cha migogoro ktk klabu kubwa.hata huyo manji wanamuona wa muhimu leo siku moja hao wazee wakinyimwa posho ya majungu watakuambia tunataka klabu yetu.kisingizio kwamba wao ni waanzilishi ifike wakati wakae pembeni zama zao zimepita waachie vijana.mzee anajivunjia heshima si wote wanaomueleza baadhi ya mambo ni wazuri kwake.shaff wewe ni mkweli na simama kwenye ukweli mungu atakulipa fanya kazi yako bila kunufaisha mtu.UKWELI UNAUMA ZIKU ZOTE.
ReplyDeleteBadilika Shaffih, nna mpango wa kuachana na sport Extra ya Clouds! Majungu mengi na misifa kibao.
ReplyDeleteNjaa ni mbaya sana, huyu mzee tangu wakati wa uongozi wa Madega amekuwa akitumiwa na baadhi ya watu ili kueneza maneno ya hovyo kwa nia ya kuondoa uongozi. Ktk uongozi wa Nchunga tumemuona na kusikia fitina zake hadi Nchunga akakimbia. Sasa anatumika tena kwa Shafii kueneza fitina. Watanzania, watu wa namna hii ni hatari sana maana wanaweza kusababisha chuki na madhara makubwa ktk jamii. Kwa wanaomtumia ningewashauri mzee huyu na wenzake watafutiwe shughuli za halali ili waingize kipato kinachoeleweka vinginevyo kwa tabia hii siku mmoja kutatokea madhara na sijui nani atayelaumiwa maana hata vyombo vya usalama wanaangalia bila hata kukemea hadi madhara yatokee.
ReplyDeleteKaka punguza unazi kwa mnyama.... utakuharibia safari yako ya mafanikio uliyoianza. Waombe radhi wazee kama ni kweli umefanya hiovyo kwa Marcio Maximo
ReplyDeleteMdau
G'MBOTO
mi naona hapa wote hatujui ukweli uko wapi wanamichezo....tusihukumu mtu kwa mambo tusiyoyaju....wote haya mambo tumeyasikia kwenye vyombo vya habari na tumesikiliza upande mmoja wa huyu mzee...ila jana SHAFII aliongea vizuri kwenye kipindi cha sports bar ya clouds fm....kwanza hakukataa tuhuma alichokisema kama kweli huyo mzee anajua anachokisema ni kweli alete vithibitisho kwamba shafii kafanya hivyo ndo muanzee kuhukumu.....!!!!mi siko upande wa mtu yeyote hapa ila usanii wa ma CLUB yetu unaniboa mnooooo......!!!!!JOTTISH
ReplyDeleteShafii, ukiona kunamaneno yanasemwa juu yako: Fanya mambo yafuatayo, 1. Jiangalia kuna sehemu lazima umekosea, kwa sababu kwa mujibu wa kazi yako unatakiwa kuiwin jamii! 2. Kubali kuwa usivyotaka kuwa hiypo ndiyo alama ya USHINDI. 3. Jiweke wazi kuwa wewe ni mpenzi wa timu fulani hapa Bongo, najua hii ni ngumu kueleweka lakini kwa asili ya mpira wetu hapa Bongo hilo nmi tatizo, 4. Jikite zaidi zaidi katika uchambuzi na siyo habari za maslahi ya upande wowote!
ReplyDeleteShaffii hebu mpigie simu Maximo aje, maana naona mambo yashakuwa makubwa
ReplyDeletesio akilimali ni akilimatope.huyu mzee mwehu nini?kaacha kuongea habari za maana za club ya yanga sasa anaanza kushambulia waabdishi wa habari.kama kazi hana kauze kahawa pumbaaaavu.
ReplyDeleteunatupotezea muda bure kukusikiliza pumba zako.i hate you akilimatope.
mfyuuuuuuuuuuuuuuuu.
AKILIMALI NI MWEHU TUU,MANENO YAKE HAYANA VINA
ReplyDeletelisemwalo lipo na kama halipo basi lipo njiani laja
ReplyDeleteMie kiukweli c fatilii soka la bongo lkn nackilizaga SE ya clouds shafii bro huwa anasema ukweli c o yanga simba wala Tff mada yyote anasema ukweli kwenye ukweli. ukweli unauma.amini ucamini huyo mzee katumwa wala huja kosea shafii
ReplyDeletePIGA KAZI WW NI ICON KWA RAIA KIBAO BEHIND THE MIC
kwako mzee akili mali na wanafki wenzio wote tunaomba vithibitisho kwanza ndo muuanze kumuukum m2 pengine uyo mzee ata kwake tv hana habar anapewa na watu kwenye vijiwe vya kahawa alaf ghafla anaita wandish mm ushauri wang kwenu wote ni ivi HABAR ZA UZUSH NI SAWA NA UMEME WA TANESKO AUNA GURANTEE MDA WOWOTE UNAKATIKA SO KUENI MAKIN WANA YANGA(meaning mwisho wa ubaya ni aibu)
ReplyDeleteIngekuwa vema mkatueleza Mzee Akilimali ni nani ndani ya Yanga. Na kama hana cheo chochote basi maneno yake ni upuuzi mtupu. Nashangaa sana kusikia na kuona Sekretarieti ya Yanga inamuachia huyu mzee anaropoka tu pasipo ushahid wowote, sidhani kama wanafahamu ya kwamba anaidhalilisha Yanga na wanachama wake.
ReplyDeleteLeo Jaji Mkwawa kaweka wazi ya kwamba huyu mzee akilimali ni mzushi tu mganga njaa.
Ukifutilia kwa makini unaona wengi wanamlaumu shafii kwa kuwa hawataki kukubali ukweli. Vilabu vyetu inabidi vibadilike. huwezi kufikilia kumuajiri kocha kwa gharama kubwa wakati hakuna vyanzo vinavyoeleweka vya mapato. Ila Mdogo wangu shafii labda anakosa utaalamu wa kuwasilisha hoja zake zikaonekana kuwa zipo katikati (Neutral) na labda na ule upande mwingine awe anakosoa. Vile vile kuna mijadala huwa ana conclude na kufanya prejudice nafikiri ingekuwa vyema awaachie wachangiaji watoe maoni yake.
ReplyDelete