Man United star Nani amezoea kuingiza mipira kwenye nyavu za uwanjani, lakini sasa ameamua kuitumibikiza kwa gari aina ya Van.
![]() |
| Andy Cole na Fortune wakigawa mipira 200 iliyotoka Uingereza na kuletwa nchini Kenya kwa gari. |
![]() |
| Watoto nchini Kenya wakiwa na zawadi ya mipira kutoka kwa wachezaji wa Man United |
Gari hilo liliendeshwa kwa maili 4,395 mpaka kwenye World Hope Community Project nchini Kenya na Dan Magness ambaye ni mchezea mipira wa ustadi.



No comments:
Post a Comment