Search This Blog

Saturday, May 12, 2012

PHOTOS: YANAYOENDELEA SUDAN ILIPO SIMBA - WAJIPIKIA CHAKULA WENYEWE

Mjumbe wa kamati ya utendaji ya Simba Swed Nkwabi akiwa na wenzie wakikagua uwanja kabla ya mchezo hapo kesho.

Baada ya kufanyiwa vituko kadhaa na wenyeji wao, klabu ya Simba leo imeamua kuanza kujipikia chakula wenyewe. Hapa mwenyekiti wa Simba Aden Rage pamoja na daktari wa timu hiyo wakiangalia zoezi zima la kuandaa msosi linavyoendelea.

1 comment:

  1. Safi sana wabongo shida ndio zetu,ss hapo ndio Hostel au wameamia Hotel?

    ReplyDelete