Search This Blog

Friday, May 18, 2012

KUTOKA MUNICH: MTANZANIA DJ MAX AMBAYE NI SHABIKI WA KUTUPWA WA BAYERN MUNICH

DJ Max mtanzania ambaye anaishi Munich. Huyu ndio mwenyeji wangu ambaye ananisaida kunitembeza mjini hapa na kuelekeza juu ya vitu tofauti kuhusu mechi hii pamoja na mambo mengine.

Hapa tukiwa wote nje ya jengo la hoteli waliyofikia klabu ya Chelsea wakati huu wakiwa hapa kwa ajili ya mechi ya fainali ya Champions league. Hii ni hoteli ya hadhi ya juu sana hapa Munich, Bayerischer Hof ni hotel ambayo huwa wanakaa mastaa wakubwa duniani wanapofika katika mji wa Munich.

2 comments: