Search This Blog

Friday, March 16, 2012

USHIRIKIANO KUTOKA LA MASIA - MESSI NA FABREGAS NA MAAJABU YAO NDANI YA BARCELONA.


Ushirikiano wao ulianzia miaka mingi iliyopita wakiwa timu ya watoto pale La Masia.
Wanaume hawa wawili mpaka sasa kwa pamoja wameshatupia kambani magoli 65 kati ya 143 yaliyofungwa na timu yao msimu huku wakiwa na jumla ya assists 47 kwa pamoja.
Waite Lionel Messi na Cesc Fabregas marafiki wa miaka mingi iliyopita wanaondelea kuwaumiza watu na uwezo wao wa kucheza soka.


Messi pia kwa pamoja na Xavi ndio wachezaji wanaongoza kwa kutoa pasi nyingi katika tatu ya mwisho ya uwanja katika ligi kubwa barani ulaya.
Messi mpaka amefunga magoli 50 katika mashindano yote msimu huu, huku akitoa assists 21, huku Fabregas akifunga magoli 15.

WAPIGA PASI BORA BARANI ULAYA
The top five passers ndani ya 3 ya uwanja katika ligi barani ulaya
1.- Messi : 911
2.- Xavi: 844
3.- Silva: 763
4.- Pirlo: 731
5.- Hazard: 704
(Font: Opta Sports)

No comments:

Post a Comment