Search This Blog

Friday, March 9, 2012

Ubingwa wa CDA Mkoani Dodoma, mkasa upo hivi................

Na Mdau Fredy Pastore kutoka Dodoma.

MWANZONI KABISA LIGI WAKATI INAANZA YA WILAYA ZIKAANZA TETESI KWAMBA MWAKA HUU WAMEPANIA KUIPANDISHA CDA,TUKAPIGA MOYO KONDE ILA ILIPOANZA NDO TUKAJUA WAPO SIRIOUS.

LIGI IKACHEZWA MAKUNDI IKAJA HATUA YA 9 BORA WAKAGAWA MAKUNDI MA3 AMBAPO KILA KUNDI INAPITA TIMU MOJA NA KUUNDA 3 BORA THEN BINGWA WA WILAYA.
KATIKA KUNDI LA CDA KULIKUWA NA TIMU ZINGINE KAMA GANAZ FC NA ....! KATIKA HATUA HIYO MECHI YAO YA MWISHO DHIDI YA GANAS YA JESHI HII,NA CDA WALISHINDA 2-1 ILA CDA WAKAWATUMIA BAADHI YA WACHEZAJI WA3 AMBAO WALICHUKULIWA KUTOKA TIMU ZA UNDER 20 ZA POLISI TANZANIA NA YANGA GOLIKIPA,AMBAO WALICHEZA YALE MASHINDANO YA UHAI CUP.MKASA UKAANZIA HAPO.
GANAZ IKAKATA RUFAA CHAMA CHA WILAYA KUPINGA HAO WACHEZAJI IKIWA NA VIELELEZO VYOTE (NA MMOJA WA HAO WACHEZAJI WALIOKATIWA RUFAA NDO YULE ALIYEPATA NAFASI YA KWENDA KWENYE ACADEMY SENEGAL)
MATOKEO YA RUFAA ILE IKATOKA VIZURI NA GANAZ WAKAONEKANA WAPO SAHIHI WAKAPEWA USHINDI NA CHAMA CHA WILAYA WAKAAMBIWA WAJIANDAE NA 3 BORA NA PUNDE KIDOGO RATIBA IKATOKA IKIIJUMUISHA GANAZ.

POLISI JAMII NA AREA A KUGOMBANIA UBINGWA WA WILAYA. IKACHEZWA MECHI YA KWANZA SIKU YA J5 POLIS NA AREA A NA IJUMAA YAKE KUKAWA NA GANAZ NA AREA A. KWA MSHANGAO WA WENGI ALHAMISI KIKAKAA KIKAO CHA CHAMA CHA MKOA DRFA NA KIKAIPOKA TENA USHINDI GANAS NA KUIAMBIA CDA IJIANDAE KESHO YAKE KWA MECHI.

ASUBUHI GANAZ FC INAPOKEA BARUA KUTAARIFIWA MAAMUZI YA RUFAA KWAMBA WAKAAMBIWA CDA WALIKATA RUFAA CHAMA CHA MKOA HIVO CHAMA KIMEONA MAAMUZI YALIYOAMRIWA NA DUFA CHA WILAYA HIKI ZILE KAMATI ZA KUAMUA RUFAA ZILIKAA KWA PAMOJA KWAMBA KAMATI YA RUFAA NA YA NIDHAM NA ILITAKIWA KILA MOJA IKAE KIVYAKE NA ITOE MAAMUZI.

TUKAHOJI KWAHIYO INAKUAJE SASA BASI ISIKILIZWE UPYA WAKASEMA HAIWEZEKANI TENA HIVO KAMA TUNATAKA TUKATE RUFAA TFF TAIFA KUMBUKA SAA 4 HIYO TUNAAMBIWA IVO NA ILIKUWA IJUMAA NAJIONI MECHI. UONGOZI WA GANAZ UKAONA BASI ISIWE TABU KWA KUWA MAZINGIRA YALIKUWA YAPO WAZI NA WAO NDO WAMESHIKA MPINI ITALIWA HELA ZAKE BURE IKAPOTEZEA LAKINI ROHO IKIWAUMA SANAAA.

No comments:

Post a Comment