Search This Blog

Thursday, March 1, 2012

POGBA NA FRYERS WAPEWA MASAA 48 KUSAINI - LASIVYO WASAHU KUICHEZEA TENA UNITED


Wachezaji wawili wanaoweka ngumu kusaini mkataba mpya ndani ya klabu ya Manchester United Paul Pogba na Ezekiel Fryers wameambiwa wasaini mikataba mipya ndani ya masaa 48 au wasahau kuichezea tena Manchester United.
Teenagers hao wanaonekana kutaka kufuata mfano wa bad-boy Ravel Morrison nje ya Old Trafford  baada ya kukataa kuweka saini kwenye mikataba mipya kwa muda mrefu sasa.
Pogba 18, na Fryers 19, wanamaliza mikataba yao mwezi June mwaka huu na baada ya kubembelezwa sana sasa inaonekana mabosi wa United wamepoteza uvumilivu na kuawaambia ijumaa ndio mwisho na hatma yao wataichagua siku hiyo.

No comments:

Post a Comment