Search This Blog

Friday, March 9, 2012

HAYA NI MAONI YA BAADHI YA WADAU KUHUSIANA NA SAKATA LA UBINGWA WA CDA WA LIGI YA MKOA WA DODOMA.

HABARI DAUDA
mimi ni mdau wa soka kutoka jijini dodoma nina malalamiko kuhusu ligi ya mkoa. tumefatilia toka mwanzo wa ligi mpaka mwisho na kwa matokeo ya ligi hiyo tumeona kuwa mshindi ni maskan fc na cha ajabu ushindi akapewa cda timu ambayo ilithubutu hadi kuchezesha mpaka wachezaji wa polisi undertwety na chama chetu cha mpira cha dorefa kimenyamaza kinasubili watu wakate rufaa. Sisi tunashidwa kuelewa hiki ni chama cha mpira au cha rufaa. Mimi kama mdau wa soka mjini dodoma naomba sauti zetu zifikishwe
 
hi mwana sport dauda
mimi naitwa omary miraj shabiki wa timu ya CDA DODOMA nasikitishwa na style ya ligi ya mkoa wa dodoma kisheria mchezaji haruhusiwi kucheza ligi mbili tunashangazwa uku dodoma wachezaji hao wanacheza ambao ni rajab mgalula na tenne huku wanachezea pia ligi ya mkoa na uongozi wa dorefa unaona unajua lakini una linyamazia timu zikikata rufaa zinaambiwa rufaa imetupiliwa mbali au wa natengeneza mazingira ya kupata kipato kupitia rufaa kwanza kuna ulazima gani wa kukata rufaa wakati uongozi unaona na unanyamaza au soka la mkoa ndo limetawaliwa na rushwa abubakari tambua rushwa ni adui wa haki wapeni tu ubingwa wao maskani
Hero Sangatiti
Kiukweli ubingwa wa CDA ni wa magumashi.
1-kiwango cha mpira hawana kiwanja walicho kuwa wana fanyia mazoezi "CENTRAL HIGH SCHOOL" nami ndipo ninapo fanyia mazoezi kiukwel hawana lolote so kwenye hiyo michuano kiukweli walibebwa mechi ...
nyingi.

2-Walibebwa coz chama cha soka mkoani Dodoma wana mahusiano mazuri na viongozi wa CDA so haikuwa tabu kwa watu hao kupendeleana ktk maswala ya mpira na ndo maana matokeo mengi ya CDA yalikuwa ya magumashi.

3-hata kama wame twaa ubingwa lakin kwa uchezaji wao hakuna kitu kabisaaaaa.
Mambo ya Dodoma nakumbuka kuna kiongozi mmoja wa soka alisema kua, ni bora kuzipandisha timu zenye majina kuliko timu zisizojulikana nakumbuka hiyo kauli na gazeti la Tanzania Daima liliandika hilo na kiongozi huyo huyo pia nilimshudia kituo kimoja cha redio akihojiwa akisema hivyo hivyo. By Andrew Chale
 
Kaka Dorefa hakuna viongozi ila walanguzi wa mechi me kwa muda wote ninakuaga Dom nikishuhudia mechi yanayosemwa ni kweli mtupu, kiukweli kama mpira ungekuwa unachezeshwa kwa haki basi Area A sportivo wangeshakuwa mabingwa siku nyingi na w...angeshapanda daraja maana jamaa wanawachezaji wazuri miaka yote afu wana udhamini mzuri so huwa wanabaniwa ili wasifikie malengo kwa kuwa wao sio chaguo la Dorefa! Iliniuma,inaniuma na itaendelea kuniuma mpaka Dorefa itakapobadilika coz inatunyima raha ya soka wana Dodoma! From Udsm
 

No comments:

Post a Comment