Search This Blog

Wednesday, February 15, 2012

PER MERTESACKER AONGEZA IDADI YA MAJERUHI ARSENAL - AHOFIWA KUKAA NJE HADI MSIMU UJAO.


Mlinzi wa kati wa Arsenal Per Mertesacker anahofiwa kuwa atakaa nje ya dimba mpaka mwishoni mwa msimu.
Mertesacker amerudi nyumbani kwao Ujerumani kwenda kukutana na specialist ambaye huwa anamtibia matatizo yake ya enka ambayo ilijitonesha katika mechi ya Sunderland jumamosi iliyopita.
Anasubiri  majibu scan, ambayo yanaweza yakaharibu ama kupoteza matumaini yake ya kucheza Euro 2012.
Boss wa Arsenal, Arsene Wenger alisema: “Kwa hakika zaidi mwezi huu na ujao Mertesacker hatakuwa nasi.”

No comments:

Post a Comment