Search This Blog

Sunday, February 19, 2012

MAMBO YAZIDI KUWA MAGUMU EMIRATES: ARSENAL WAPIGWA 2-0 NA SUNDERLAND WATOLEWA FA CUP.

From bad to worse: Arsenal players are disconsolate as they crash out of the FA Cup to Sunderland

Mambo yameendelea kuwa magumu kwa Arsenal baada ya leo pia kutolewa katika michuano ya kombe la FA na Sunderland baada ya kufungwa 2-0 na watoto wa Martin O’neal.
Magoli ya Sunderland yalifungwa kwa na mchezaji wa zamani wa Manchester United Kieran Richdson katika dakika ya 48 kabla ya Alex Oxlade Chamberlain akijifunga na kufunga idadi yam abo ya mchezo huo wa raundi ya tano ya FA.

On their way: Sunderland celebrate Richardson's opener against Arsenal
Kieran Richadson akipongezwa na wenzie.
 Wiki hii imeendela kuwa mbaya kwa Arsenal ambao walifungwa kwa goli 4-0 na AC Milan katika mechi ya kwanza ya Champions league.

No comments:

Post a Comment