Search This Blog

Friday, February 10, 2012

GIGGS ASAINI MKATABA MPYA UNITED



Ryan Giggs amesaini mkataba wa mwaka mmoja zaidi kuendelea kuichezea Manchester United.
Giggs, 38, ambaye alianza kuichezea United in 1990, na aliichezea mechi yake ya kwanza in March 1991.
Kutoka kipindi hicho mpaka leo ameshaichezea timu hiyo mechi 898 na akifunga magoli 162.
Ameshinda makombe 12 ya EPL, manne ya FA Cup, matatu ya Carling Cup, moja la Super cup, pia ameshinda kombe la mabara na kombe la dunia la vilabu.

No comments:

Post a Comment