Search This Blog

Saturday, February 25, 2012

Christopher Samba ajiunga na Anzhi Makhachkala

Blackburn wamethibitisha Christopher Samba amejiunga na Anzhi Makhachkala.

Dirisha la usajili la Russia lilikuwa halijafungwa mpaka usiku wa leo na warusi hao ambao hivi karibuni walimtangaza Guus Hiddink kama kocha wao mkuu, na sasa wamemsaini Samba ambaye aliomba kuondoka Blackburn tangu mwezi January lakini ombi lake likapigwa chini.

No comments:

Post a Comment