Search This Blog

Monday, January 2, 2012

UWANJA WA KAMBARAGE MKOANI SHINYANGA WAGEUKA PORI

Wananchi wakifyeka uwanja kabla ya mpambano kuanza... HATARI KWELI KWELI !!!

Avital Makelele -SHINYANGA
Karibu wiki nzima mkoa wa shinyanga ulikuwa unasubiri mpambano wa kimataifa kati ya timu ya TOTO Africa ya jijini mwanza inayoshiriki ligi kuu Tanzania bara dhidi ya ABUJA FC kutoka nhini Nigeria.
What happened watu wengi sana waliweza kujitokeza kutazama mpambano huo nikiwa mmoja kati yao,kufika katika lango kuu la kuingilia uwanja wa CCM Kambarage unaomilikiwa na chama tawala.mamia ya watu walikiwa nje wakisubiri kuingia ndani.nikajaribu kuuliza nini kinaendelea na kuambiwa kuwa uwanja unafyekwa nilishangazwa sana na habari hiyo.ikanibidi niingie ndani kwa kulazimisha na hatimae nikashangazwa na hali niliyoikuta.

Nikiwa kama mtanzania,kijana na msomi wa level ya chuo kikuu nimepata maswali na yanaitaji majibu:
Je uwanja una meneja? Ni kweli yupo na ninamfaham anaitwa MFANGA na ni kada wa chama kinachomiliki uwanja.anafahamu majukumu yake na baadae aliweza kuja akiwa kavaliam nguo za chama,tena bila aibu.
Je cha mpira wa miguu mkoa na wilaya vina taarifa na ziala hiyo?
je maandalizi yalifanyika?
Am not sure na hiyo timu kama ni kweli inatoka ABUJA-NIGERIA.
Toto Africa nusu ya wachezaji tunaowafaham ndo walikuwepo but sitaki kuliongelea sana kwa sababu sina facts.
My comments:
UMEFIKA WAKATI WA KUFANYA MABADILIKO,WANA SHINYANGA WABADILIKE KWA KUTAFUTA UONGOZI WA CHAMA CHA SOKA MKOANI.SIASA HAIFAI KATIKA SOKA KAMA TUNATAKA KUFIKA MBALI.LIGI KUU TUTAKUWA TUNAISIKIA TUU,TUNAITAJI KUWA NA TIMU YA LIGI KUU,TUTAWEZA KAMA WANASHINYANGA WAKIWA TAYARI KUBADILIKA.

No comments:

Post a Comment