Search This Blog

Friday, January 6, 2012

OWEN: GARY ANAWEZA KUWA MCHEZAJI WA CHELSEA KUANZIA JUMAPILI


Gary Cahil anaweza kuwa mchezaji wa Chelsea by Sunday, kwa mujibu wa kocha wa Bolton Owen Coyle.

Klabu mbili tayari zimeshakubaliana ada ya uhamisho kwa ajili ya beki huyo wiki iliyopita lakini mahitaji binafsi ya mchezaji ndio yalikuwa kikwazo baada ya kutaka kulipwa £120,000 kwa wiki.

Cahill alibaki north west na kucheza michezo muhimu dhidi ya Wolves na Everton.

Atapumzishwa katika mechi ya raundi ya 3 ya kombe la FA dhidi ya Macclesfied, Coyle akiwa hataki kum-stress kipindi hiki cha uhamisho. Inaonekana goli la ushindi aliloifungia Bolton dhidi ya Everton @Goodison Park on Wednesday ndilo liltakuwa la kuwaagawapenzi wa Bolton.

No comments:

Post a Comment