Search This Blog

Saturday, January 14, 2012

ALEX NJIANI KUELEKEA QPR.


QPR na Chelsea wamekubaliana ada ya uhamisho ya mchezaji Alex.

Rangers walikataliwa na Chelsea kwa ofa waliyotoa mwanzoni mwa wiki hii, lakini sasa wamefikia makubaliano rasmi juu ya kumsaini mbrazili huyo.

Kikwazo pekee kilichobakia sasa ni mchezaji kukubaliana mahitaji binafsi ya matajiri wapya wa London.

Chelsea wamekubali ofa ya QPR kwa Alex masaa 24 baada ya kumsaini Gary Cahil aliyetokea Bolton.

No comments:

Post a Comment