Search This Blog

Wednesday, November 30, 2011

SAMIR NASRI NUSURA AZICHAPE NA FRIMPONG


Samir Nasri jana nusura apigane na mchezaji wa Arsenal Emmanuel Frimpong wakiwa njiani kuelekea vyumba vya kubadilishia nguo katika uwanja wa Emirates baada ya kipenga cha mwisho cha mchezo uliozikutanisha Manchester City dhidi ya Arsenal.


Kumekuwa na uhusiano mbaya kati yao tangu Frimpong alipo react juu ya uhamisho wa £24m wa Nasri kujiunga na City in August baada ya kutweet: “Pesa ndio mzizi wa ushetani”

Wachezaji hawa wawili walipokutana jana katika mechi ya Carling cup ambayo Arsenal walifungwa waliendelea kuzozana mara tu baada ya mchezo huo.

No comments:

Post a Comment