Search This Blog

Wednesday, November 30, 2011

COUNTDOWN DIRISHA DOGO LA USAJILI BONGO: AFRICAN LYON

Wakati dirisha dogo la usajili wa Bongo likielekea kufungwa hivi punde klabu ya African Lyon imefanikiwa kumsajili kiungo Justus Anene kutoka klabu ya URA ya nchini Uganda,pia timu hiyo imefanikiwa kumnasa beki Obinna Mustafa raia wa Nigeria toka klabu ya Zanzibar Ocean View.

WALIONGIA:

SAMUEL NGASA-HURU
JUSTUS ANENE-kutoka URA ya Uganda
Mbera Mike- Lugazi Utd ya Uganda
Erick Majaliwa- kutoka JKT RUVU
Mohamed Hamad-kutoka Mwanza Utd
Obinna Mustafa- Kutoka Ocean View ya Zanzibar.

WALIOTOKA

Shabani Aboma-ameachwa
John Njama -amekwenda Police Central ya Dar Es Salaam
Bakari Nzige- Polisi Dodoma

No comments:

Post a Comment