Search This Blog

Friday, October 14, 2011

YANGA YAIFUMUA KAGERA SUGAR 1-0

Mshambuliaji kutoka Ghana Asamoah leo ameendeleza makali yake na kikosi cha Yanga baada ya kufunga goli pekee na la ushindi kwa timu yake dhidi ya Kagera Sugar katika mwendelezo wa ligi kuu ya Tanzania..

2 comments: