Search This Blog

Friday, October 14, 2011

SIMBA VS AFRICAN LYON VIINGILIO


VIINGILIO SIMBA VS AFRICAN LYON

Viingilio katika mechi namba 62 ya Ligi Kuu ya Vodacom kati ya Simba na African Lyon itakayochezwa Oktoba 16 mwaka huu Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam vitakuwa kama ifuatavyo;

VIP A itakuwa sh. 15,000, VIP B sh. 10,000, VIP C sh. 7,000, viti vya rangi ya chungwa (orange straight and curve) sh. 5,000 wakati viti vya kijani na bluu itakuwa sh. 3,000.

Mechi hiyo itaanza saa 10 jioni na tiketi zitauzwa uwanjani kwenye magari maalumu.

No comments:

Post a Comment