Search This Blog

Friday, October 28, 2011

DSM DERBY COUNTDOWN: MAELEKEZO


MECHI- YANGA vs SIMBA
-Milango itafunguliwa saa 7 mchana.
-Hakuna kitu chochote kitakachoruhusiwa kuuzwa uwanjani
-Mashabiki wakae maeneo kulingana na tiketi zao. Eneo la VVIP ni maalumu kwa wageni waalikwa na si kwa ajili ya watu wenye tiketi za VIP A.
-Msalaba Mwekundu (Red Cross): Tunawakumbusha Red Cross wataendelea kukaa katika maeneo yao husika, kwa sababu rangi zao zinatumika duniani kote na hazina uhusiano na klabu/timu yoyote.

No comments:

Post a Comment