Search This Blog

Friday, October 21, 2011

BREAKING NEWS: HATIMAYE LIGI KUU YA TZ BARA KUENDESHWA NA KAMPUNI.

Taarifa za kuaminika za hivi sasa zinasema kuwa mkutano wa vilabu vyote vinavyoshiriki katika ligi kuu ya Tanzania bara vimeamua kwa pamoja kuanzia msimu ujao ligi kuu ya Tz bara itaendeshwa na kampuni itakayoundwa na muunganiko wa vilabu vishiriki katika premier league, hivyo kuanzia msimu ujao T.F.F wataicha ligi hiyo kuendeshwa na kampuni.

Kwa maelezo zaidi endelea kutembelea blog yako namba ya michezo na burudani.

No comments:

Post a Comment