Search This Blog

Thursday, September 8, 2011

YANGA YAISHINDA TFF,YAENDELEA KUBURUZA MKIA

Yanga jana kwa mara ya kwanza walivaa jezi za mdhamini wa Ligi Kuu Vodacom, lakini zikiwa na alama nyeusi badala ya alama nyekundu


Hapo jana Yanga ililazimishwa sare ya bila kufungana na Mtibwa Sugar kwenye mchezo wa ligi kuu ya Vodacom.

Wakati huo huo bao la Gervais Kago liliipa ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Villa Squard kwenye uwanja wa Mkwakwani Mkoani Tanga.






No comments:

Post a Comment