Search This Blog

Thursday, September 15, 2011

HATIMAYE YANGA YAPATA USHINDI WA KWANZA WA MABAO 2-1...

Taarifa kutoka Uwanja wa Azam Rashidi Gumbo ameipatia Yanga bao la pili na la ushindi mnamo dk ya 63.
Huu ulikuwa ni mchezo wa ligi kuu ya Vodacom Tanzania Bara.
Davis Mwape aliipatia Yanga bao la kuongoza dakika ya 35 kabla ya Lyon kusawazisha kupitia kwa Hamis Shengo kupitia mkwaju wa adhabu ndogo.
hivyo basi Yanga imefanikiwa kupata ushindi wa kwanza wa msimu mabao 2-1 dhidi ya African Lyon.



No comments:

Post a Comment