Search This Blog

Thursday, September 15, 2011

BREAKING NEWS: MWENYEKITI WA TEFA AVULIWA URAIA WA TANZANIA.




Taarifa nilizozipata hivi punde Mwenyekiti wa chama cha soka Manispaa ya Temeke jijini Dsm, Bwana PETER STEPHEN MHINZI ametenguliwa uraia wake wa Tanzania baada ya uchunguzi wa kina kubaini kuwa wazazi wake hawakuwa Watanzania ingawa yeye binafsi alizaliwa nchini Tanzania.


kwa mujibu wa kifungu cha 5(2) (a) cha sheria ya uraia No. 6,1995.










2 comments: