Search This Blog

Saturday, September 17, 2011

MECHI ZA LEO VODACOM PREMIER LEAGUE


TOTO AFRICAN Vs JKT RUVU
Mchezo huu utapigwa katika uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza.


VILLA SQUAD Vs MTIBWA SUGAR.
Baada ya kufungwa na Simba na Azam FC, Villa squad itakuwa kibaruani kuwakabili wakatamiwa wa Morogoro, Mtibwa Sugar kwenye uwanja wa Azam uliopo Chamanzi Mbande nnje kidogo ya jiji la Dar es salaam.



RUVU SHOOTING Vs COASTAL UNION.
Coastal union leo watakuwa wanatafuta namna ya kujifariji pale watakapo karibishwa Ruvu Shooting katika dimba la Mlandizi mkoani Pwani.
VILLA SQUAD Vs MTIBWA SUGAR.
Baada ya kufungwa na Simba na Azam FC, Villa squad itakuwa kibaruani kuwakabili wakatamiwa wa Morogoro, Mtibwa Sugar kwenye uwanja wa Azam uliopo Chamanzi Mbande nnje kidogo ya jiji la Dar es salaam.


RUVU SHOOTING Vs COASTAL UNION.
Coastal union leo watakuwa wanatafuta namna ya kujifariji pale watakapo karibishwa Ruvu Shooting katika dimba la Mlandizi mkoani Pwani.

No comments:

Post a Comment