Search This Blog

Tuesday, September 6, 2011

JKT Ruvu 3 Coastal Union 0,Nyoso apata timu South Afrika.


Klabu ya Simba inatarajia kuvuna mamilioni mengine kutoka kwa beki wake ambaye pia huchezea 'Taifa Stars', Juma Nyosso baada ya kufikia muafaka na Klabu ya Platnum Stars inayoshiriki Ligi Kuu Afrika Kusini, ambayo imeonesha nia ya kumsajili.

Hapo jana JKT Ruvu ilipata ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Coastal union ushindi ambao uliwapeleka kileleni mwa msimamo wa ligi kuu y a VODACOM kwa kufikisha pointi 9.
mabao ya JKT Ruvu yalifungwa na Sostenes Manyasi,Rajabu Chau na Emmanuel Lucas.

No comments:

Post a Comment