Search This Blog

Friday, August 19, 2011

FALCAO AJIUNGA NA ATLETICO MADRID



Atletico Madrid wamefanikiwa kuwasajili wachezaji wawili kutoka Porto Rademel Falcao & Ruben Micael kwa ada ya uhamisho ya Euro million 45.

Porto wametangaza katika soko la hisa la Ureno kwamba wamekubali kumuuza mshambuliaji Rademel Falcao na kiungo Ruben Micael kwenda Atletico Madrid kwa ada ya jumla ya uhamisho ya Euro million 45.

Mabingwa wa Ureno hao waliongeza kuwa usajili wa wachezaji hao umebakiza uchukuaji wa vipimo na na wachezaji kukubaliana mahitaji binafsi na Atletico.

Ruben Micael amenunuliwa kwa 5, na Falcao amejiunga na Atletico kwa dili lenye thamani ya, lakini fedha ya usajili ya Falcao inaweza kuongezeka mpaka kufikia euro million 47 ikiwa mchezaji atafanya vizuri akiwa na timu hiyo kutoka Vicente Calderon.

No comments:

Post a Comment