Search This Blog

Monday, July 25, 2011

HATIMAYE N'ZOGBIA KUTUA VILLA PARK


Hatimaye Aston Villa wamekubali kulipa £9.5million kama ada ya uhamisho wa winga wa Wigan Athletic Charles N’Zogbia.Wigan walikataa ofa ya £9m kutoka Villa kwa ya mchezaji huyo wa zamani wa Newcastle mwanzoni mwa July, lakini sasa wamekubali kumuuza.

Klabu hizo mbili walifanya mazungumzo ndani weekend na kukubaliana na ofa ya £9.5m.

Kocha mpya wa Villa A lex McLeish anahitaji winga mpya baada ya kuondoka kwa Ashley Young na Stewart Downing waliohamia Man United na Liverpool.

No comments:

Post a Comment