Search This Blog

Friday, July 29, 2011

FERNANDO GAGO NAYE AVUTA JIKO

Msimu wa wacheza soka kuondokana na ubachela unaendelea.

Kiungo wa kimataifa wa Argentina na Real Madrid, Fernando Gago amefanikiwa kumuoa mchumba wake mcheza tennis Gisela Dulko.

Ndoa ilifanyika Jumatano katika wilaya ya Palermo jijini Buenos Aires, Aregentina.

No comments:

Post a Comment