Search This Blog

Friday, July 29, 2011

BREAKING NEWS: JURGEN KLISMANN KOCHA MPYA WA MAREKANI


Mchezaji na kocha wa zamani wa timu ya taifa ya Ujerumani Jurgen Klismann ameteuliwa kuwa kocha mpya wa timu ya taifa ya Marekani akimbadili Bob Bradley aliyetimuliwa wiki hii.

Bradley alitimuliwa jana Alhamisi baada ya miaka 5 ya uongozi, na sasa U.S soccer president Sunil Gulati amemtangaza Klismann kuwa manager mpya wa benchi la ufundi la watoto wa Obama.

Klismann ataiongoza U.S kwa mara ya kwanza katika mechi dhidi ya Mexico on August 10.

No comments:

Post a Comment