Search This Blog

Thursday, July 14, 2011

FALCAO ASAINI MKATABA MPYA NA PORTO


Mshambuliaji Rademel Falcao amemaliza utata juu ya tetesi zinahusu kuhama Porto baada ya kusaini mkataba wa mpya na mabingwa wa Ureno.

Falcao amesaini mkataba wa wa miaka 4 utakaomuweka Estadio do Dragao mpaka mwaka 2015, mabingwa hao Portugal wameithibitishia soko la hisa la Ureno.


The Colombia international ambaye alikuwa amebakiza mkataba wa miaka 2 katika mkataba wake wa mwanzo, ambao ulikuwa una kipengele cha kumruhusu kuondoka kwa euro millioni 30, lakini mkataba mpya wa Falcao una kipengele cha kumruhusu kuondoka kwa euro million 45, fedha ambayo itakuwa ni kizingiti kikubwa kwa timu zitakazomtaka.
Chelsea ni moja ya timu kubwa zinazohusishwa kwa kiasi kikubwa kutaka kumsaini mcolombia huyo mara baada tu ya kumteua Andre Villas Boas, ambaye aliiongoza Porto kushinda makombe 3 msimu uliopita.

No comments:

Post a Comment