Search This Blog

Friday, July 15, 2011

EXCLUSIVE: CHUJI AJIUNGA RASMI NA VILLA SQUAD



Mchezaji wa zamani wa mabingwa wa Tanzania na CECAFA Kagame Cup Athumani Idd Chuji leo ametangazwa rasmi kuwa mchezaji wa klabu ya Villa Squad ya Dar Es Salaam.


Chuji ambaye baada ya kutoka Yanga alirudi Simba na kuitumikia klabu hiyo katika michuano Kagame iliyomalizika last weekend amejiunga na Villa baada ya kukatwa katika usajili wa Simba,blog hii imepewa taarifa na msemaji wa timu hiyo bwana Idd Godgod.


Wakati huo huo Villa Squad leo wamethibitisha rasmi kuwa watatumia uwanja Chamazi wa Mbagala unaomilikiwa na matajiri wa ligi kuu klabu ya Azam kama uwanja wao wa nyumbani kwenye michezo ya ligi kuu ya vodacom msimu ujao .

No comments:

Post a Comment