Search This Blog

Tuesday, July 26, 2011

BABU KAJU AZINDUA KITABU CHA SOKA,SASA AWEKEZA KWENYE SOKA LA VIJANA....

Mdau mkubwa wa mchezo wa soka nchini Tanzania,ALEX Kajumulo akinikabidhi kitabu alichokiandika kinachohusiana na mambo ya soka,Kajumulo anaishi nchini Marekani.
Alex Kajumulo aliwahi kumiliki klabu ya soka nchini Tanzania,sasa ameamua kuwekeza kwenye soka la vijana,hapa ilikuwa ni baada ya kumvamia mazoezini na ikabidi nipige picha ya na kikosi hicho chenye mchanganyiko wa wavulana na wasichana.

No comments:

Post a Comment