Search This Blog

Thursday, June 16, 2011

USAJILI WAZIDI KUPAMBA MOTO BARANI ULAYA.




Totenham imeikataa offer ya paundi milioni 25 kutoka chelsea kumsajili kiungo Luca Modric.




Arsenal imeongeza kasi kuwasajili Gary Cahill,Christopher Samba na Gervinho.
Mtendaji mkuu wa Arsenal Ivan Gazidis amekutana na bosi wa Bolton Phil Gartside kuzungumzia uhamisho wa beki Gry Cahill pia wapo kwenye mazungumzo mazito na Blackburn kuzungumzia uhamisho wa beki Christopher Samba.


Wakti huo huo Arsenal wamekubaliana na mshambuliaji Gervinho na yupo tayari kumwaga wino kuichezea timu hiyo kwa ada ya uhamisho inayokadiliwa kufika euro milioni 12.





Siyabonga Nomvethe amesaini mkataba wa miaka miwil kuendela kuichezea Moroka Swallows

No comments:

Post a Comment