Search This Blog

Thursday, June 16, 2011

UNITED YATHIBITISHA KUONDOKA KWA MKOPO


Manchester United wamethibitisha kuwa winga wao Bebe anakwenda kucheza kwa mkopo katika klabu ya Basiktas ya Uturuki msimu mzima wa 2011/2012
Bebe alisajiliwa na Sir Alex Ferguson kutoka Vitoria kwa ada ya paundi millioni 7.4 msimu uliopita ingawa na mchezaji huyo hakuwahi kuichezea timu hiyo ya Ureno mechi yoyote.

No comments:

Post a Comment