Search This Blog

Thursday, June 2, 2011

NATAKA KUONDOKA CHELSEA - ZHIRKOV



Chelsea star Yuri Zhirkov jana amesema wazi kuwa anataka kuondoka Stamford Bridge.

The Russia international winger, 27, amesema anataka kurudi Russia baada ya miaka miwili ya misukosuko in West London.
"Kwa bahati mbaya sikuwa na msimu mzuri ndani ya miaka miwili niliyokaa hapa, nataka kucheza na sio kukaa benchi."

Zhirkov aliamia Chelsea kwa gharama ya £18million in 2009 akitokea CSKA Moscow kwa ushawishi mkubwa kutoka kwa Blues' billionaire owner Roman Abramovich, lakini ametumika katika mechi zisizozidi 22 na mingi kati michezo hiyo akiwa ametokea benchi.

"Sitaki kujadili kuhusu suala lolote kuhusu uhamisho kutoka Chelsea kwasababu bado nina mkataba na klabu, lakini nafikiria kuondoka hapa na kurudi Russia pindi ninapofikiria kuwa nataka kucheza".

Reports in Russia zinasema kuwa mahasimu CSKA Moscow na Spartak Moscow wanataka kupata saini ya mchezaji huyo.

No comments:

Post a Comment