Search This Blog

Sunday, June 12, 2011

MATCH CENTER: FULL TIME SIMBA 1 - 0 DCMP


Msimbazi leo ni furaha tupu baada ya kufanikiwa kuwafunga DC Motema Mapembe katika uwanja wa taifa jijini Dar Es Salaam jioni hii katika mechi ya raundi kwanza ya Kombe la shirikisho.
Kwa ushindi huu Simba sasa wameingiza mguu mmoja katika hatua ya makundi ya kombe la shirikisho barani Afrika.
Mechi ya marudiano itafanyika wiki mbili baadae jijini Kinshasha Congo.

No comments:

Post a Comment