Search This Blog

Friday, June 3, 2011

MAN UNITED NA BARCELONA KUPAMBANA MAREKANI




On 28 July, Man United na klabu bingwa ya ulaya Barcelona watapambana mjini Washington DC katika uwanja wa FedEx Field katika mataarisho ya msimu ujao maarufu kama Pre-Season.

Uwanja wa FedEx Field utakuwa umejazwa na mashabiki wapatao 91000 wakiangalia marudio ya fainali ya Champions League.

Barca waliitandika United katika fainali ya UEFA na sasa Red Devils wamepata nafasi ya kulipiza kisasi kupitia mechi hiyo.

Man United pia watacheza na New England Revolution, Seattle Sounders, Chicago Fire na kikosi cha mastaa wa ligi ya USA maarufu kama MLS All-Stars.

No comments:

Post a Comment