Search This Blog

Wednesday, June 1, 2011

ENGLAND FA YASHINDWA KUUSIMAMISHA UCHAGUZI FIFA


Jaribio la England Football Association kutaka kuharishwa kwa uchaguzi wa uraisi wa shirikisho la soka duniani FIFA limeshindwa vibaya leo.

FA chairman David Bernstein alikuwa anawashawishi wajumbe 208 wa FIFA kusimamisha kwa uchaguzi ambao Sepp Blatter anagombea pekee yake kiti cha uraisi, lakini wajumbe wa FIFA wamepiga kura na matokeo ni kuwa kura 172 zilikubali uchaguzi uendelee na na kura nyingine zikimuunga mkono jaribio hilo la FA.

Uchaguzi wa FIFA unafanyika leo.



No comments:

Post a Comment