Search This Blog

Friday, June 3, 2011

AZAM YASAJILI WAGHANA


aZAM FC LEO IMETANGAZA KUWASAJILI wachezaji kutoka nchini Ghana ambao ni mshambuliaji wa kati wa Kingfaisal ambaye anashika nafasi ya tatu kwa ufungaji magoli kwenye ligi kuu ya Ghana Abdul Wahab Yahya na nahodha wa Kingfaisal Nafiu Awudu naye pia anatoka King Faisal Babes. Wachezaji wote wawili wanachezea timu ya Taifa ya Ghana U-23. Nafiu Awudu pia anachezea kikosi cha Black Stars

No comments:

Post a Comment