Search This Blog

Saturday, May 14, 2011

UNITED WANATAKA HESHIMA-FERGUSON


Man United manager amekasirika kufuatia maoni ya wachambuzi mbalimbali wa soka kusema kikosi chake cha sasa sio kizuri kama cha mwaka 1999.
Old Trafford chief amezungumza na kusema na kujivunia rekodi ya kikosi chake cha sasa, wingi wa magoli ya kufunga, rekodi kucheza vizuri nyumbani, na sasa wanakaribia kuchukua makombe mawili ndani ya msimu mmoja.
“Tumekuwa na performance nzuri sana mwaka huu, wachezaji wamejituma sana hakuna atakayebisha juu ya rekodi nzuri tuliyonayo kwa michezo ya nyumbani”.
“Tumepoteza pointi mbili tu @ Old Trafford msimu mzima na sifikirii kuna timu yoyote yenye rekodi kama hiyo ndani Europe, ingawa tumepoteza some points kwa team zilizo chini kwenye msimamo kama Birmigham, Wolves, West Brom, Aston Villa, and Newcastle nah ii inathibitisha kwamba hii ni ligi ngumu kushinda, so kushinda taji hili inabidi my players wapewe heshima wanayostahili ”. said Ferguson

No comments:

Post a Comment