Search This Blog

Saturday, May 21, 2011

PARTNERSHIP YA RONALDO NA BENZEMA YAVUNJA REKODI MADRID


CRISTIANO RONALDO THE RECORDS BREAKER

Mshambuliaji wa klabu ya Real Madrid Cristiano Ronaldo ameendelea kuvunja recocds mbalimbali ndani ya klabu yake na katika ligi ya Hispania baada ya kufunga mabao 40,na kuwa mfungaji bora wa muda wa La Liga.
Pia CR7 ambaye msimu uliopita kwa pamoja yeye na Gonzalo Higuain waliweza kuvunja rekodi na Real Madrid striker partnership iliyofunga mabao mengi ndani ya msimu 1 wa La liga baada ya kufunga mabao 53.Rekodi hii imevunjwa tena partnership Karim Benzema aliyefunga mabao 15 huku Cristiano akifunga mabao 40 na jumla wakafikisha magoli 55.

No comments:

Post a Comment