Search This Blog

Wednesday, May 25, 2011

MECHI YA KUMUAGA GARY NEVILLE MAN U VS JUVENTUS






gary


Usiku wa jana ilifanyika mechi ya kumuaga Gary Neville ambaye amestaafu kuchezaa soka.Mechi hiyo iliusisha wachezaji wa zamani waliocheza pamoja na Neville ndani ya United wakipambana na Old Lady of Turin Juventus na matokeo yakawa bila kwa moja,juve wakiibuka na ushindi.

No comments:

Post a Comment