Search This Blog

Wednesday, May 18, 2011

MAN UNITED YAONDOA TANGAZO LA KUWADHIAKI MAN CITY

BANGO LA STREFFORD END @ OLD TRAFFORD


Siku chache baada ya ya Manchester City kuchukua ubingwa wa Kombe la FA, mashabiki wa mahasimu wao wakubwa Man United wameondoa bango lao maarufu ambalo huonekana jukwaa la Strefford End katika uwanja wa Old Trafford likionyesha idadi miaka ambao City wameshindwa kuchukua kombe lolote.

MASHABIKI WA MAN CITY WAKIWADHIAKI UNITED

No comments:

Post a Comment