Search This Blog

Wednesday, May 18, 2011

BONGO MOVIE FC KUCHEZA NA MA-DJ NA WATANGAZAJI WA MWANZA


Wachezaji wa Bongo Movie Wakiwa Mazoezini

Staika wa timu Bongo Movie

Timu ya soka ya wacheza filamu Tanzania Bongo Movie inatarajiwa kupambana na timu ya Ma-DJ na watangazaji wa redio wa mkoa Mwanza katika uwanja CCM Kirumba hivi karibuni.
Mchezo ambao umeleta hamasa kubwa miongoni mwa wakazi wa jiji la Mwanza utakuwa maalum kwa ajili ya kuchangisha fedha kwa ajili ya kununua madawati ya shule za msingi za wilaya ya Ilemela.

No comments:

Post a Comment