Search This Blog

Wednesday, May 11, 2011

KUTOKA AZAM FC KUHUSIANA NA SAKATA LA MRISHO NGASSA



Azam FC haiwezi taja dau la kumuuza Ngasa kwa kuwa HAUZWI, kwa klabu za ndani isipokuwa nje ya nchi. Azam FC inawataka Yanga waache kuzungumza na Ngasa. Ngasa siyo mchezaji wao na wala siyo mchezaji huru, Ngasa ana mkataba na Azam FC. ambao Azam FC haina nia ya kuuvunja isipokuwa kuuboresha.

No comments:

Post a Comment