Search This Blog

Friday, May 27, 2011

KOLO TOURE AFUNGIWA MIEZI 6


Manchester City defender Kolo Toure amehukumiwa kwenda jela ya soka kwa miezi 6 baada ya kupatikana na hatia kutumia dawa zakuongeza nguvu mapema msimu huu.
Adhabu ya Kolo imeanza kuanzia mwezi March mpaka September.

No comments:

Post a Comment