Search This Blog

Saturday, May 14, 2011

KOCHA WA TIMU YA TAIFA STARS AKIONGEA NA WAANDISHI WA HABARI KUELEKEA MCHEZO WAO DHIDI YA BAFANA BAFANA LEO.


Mchezo utakua mgumu kwasababu wachezaji wa timu zote watataka kuonyesha viwango vya juu ili wasake nafasi katika vikosi vya kwanza baada ya nyota wanaocheza soka la kulipwa kutokuwepo
Poulsen alisema wachezaji wake wamemaliza ligi tangu Aprili 10 wamefanya mazoezi ya kujijenga stamina kwa muda mrefu ili kukabiliana na bafana na anaamini kwamba wataonesha kiwango bora na hatimaye kupata matokeo mazuri.

No comments:

Post a Comment