Search This Blog

Saturday, May 21, 2011

KIKOSI CHA MWAKA CHA ANDY COLE



Wakati ligi kuu ya Uingereza ikwa inaishia kesho jumapili, mshambuliaji wa zamani wa timu ya taifa ya England na klabu ya Manchester United ametaja wachezaji bora 11 ambao kwa maoni yake ndio wanaunda kikosi bora cha ligi kuu ya England kwa msimu wa 2010-2011.
Wachezaji hao ni kama ifuatavyo

1:Edwin van der Sar-Manchester United
2:Bacary Sagna- Arsenal
3:Ashley Cole - Chelsea
4:Gary Cahill - Bolton
5:Nemanja Vidic- Man United
6:Jack Wilshere - Arsenal
7:Luis Nani - Man United
8:Samir Nasri - Arsenal
9:Dimitar Berbatov - Man United
10:Carlos Tevez - Man City
11:Gareth Bale - Totenham

No comments:

Post a Comment