Search This Blog

Saturday, May 14, 2011

CRISTIANO RONALDO AVUNJA REKODI REAL MADRID.


Baada ya Juzi kufunga mabao 3 katika mechi dhidi ya Getafe, Cristiano Ronaldo amefanikiwa kuvunja rekodi iliyowekwa miaka 50 iliyopita na Hungarian footballer Ferenc Puskas kwa kufunga mabao mengi zaidi ndani ya msimu mmoja katika klabu ya Real Madrid.
Puskas ambaye alifunga mabao 47 ndani ya msimu mmoja(1959/60) alikuwa ndio Real Madrid all time top scorer in one season mpaka kufikia jana ambapo CR7 alipovunja rekodi hiyo kwa kutimiza mabao 49 in a single season na ligi ikiwa bado inaendelea.
2008 FIFA Ballon d'Or winner ameshatia kambani goli 36 kwenye La Liga, 6 goals in Champions League na 7 goals in Copa De Rey.

No comments:

Post a Comment